Tangazo la Mnada wa Miti laini na Migumu 20 Juni,2023
Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) unatarajia kuuza miti laini na migumu katika mashamba 11 ya miti ya kupanda yanayomilikiwa na Serikali kwa msimu wa uvunaji wa mwaka wa fedha 2023/2024. Tathmini iliyofanyika…
Read More