Tangazo la Mnada wa Miti laini na Migumu 20 Juni,2023

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) unatarajia kuuza  miti laini na migumu katika mashamba 11 ya miti ya kupanda yanayomilikiwa na Serikali kwa msimu wa uvunaji wa mwaka wa fedha 2023/2024. Tathmini iliyofanyika…

Soma Zaidi

TFS KUJA NA MUONGOZO WA KUONGEZA THAMANI YA MAZAO YA NYUKI

Dar es Salaam: Katika kuhakikisha mazao ya nyuki yanayozalishwa nchini yanaendelea kuwa na viwango vya ubora vinavyohitajika katika masoko ya kimataifa, Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Wakala wa Huduma za…

Soma Zaidi

TFS YAPEWA TUZO YA MAZINGIRA 2023

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania – TFS umepewa tuzo rasmi ya taasisi bora ya Serikali katika kuhakikisha zoezi la upandaji miti na utunzaji mazingira linakuwa endelevu mwaka 2023. Tulizo Kilaga anaripoti.…

Soma Zaidi

Tangazo la Mnada wa Miti ya Misaji Kielektroniki

Tangazo la mnada wa hadhara wa uuzaji wa miti ya misaji kwa njia ya kielektroniki

Soma Zaidi

BODI YA USHAURI TFS YATEMBELEA HIFADHI YA MAZINGIRA ASILIA AMANI

BODI ya Ushauri ya Wizara kwa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) wametembelea Hifadhi ya Mazingira Asilia Amani iliyopo Muheza mkoani Tanga lengo likiwa ni kukagua uboreshaji wa miundombinu na huduma…

Soma Zaidi

PROF. SILAYO AWATAKA WALIOVAMIA MISITU HANDENI, KILINDI TANGA KUONDOA

SERIKALI imetaka wananchi wote waliovamia hifadhi za misitu wilayani Handeni na Kilindi mkoani Tanga kuondoka mara moja na kutangaza kuwachukulia hatua kali za kisheria wale wote watakaokahidi agizo hilo huku ikieleza…

Soma Zaidi

TFS, Blue Carbon zasaini Hati ya Makubaliano ya Biashara ya Hewa Ukaa

Kampuni ya Blue Carbon chini ya uwenyekiti wa mwanamfame Sheikh Ahmed Dalmook Juma Al Maktoum wa Falme za Kiarabu UAE imetia saini hati ya makubaliano na Serikali ya Tanzania kupitia Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania…

Soma Zaidi