KILELE CHA SIKU YA NYUKI DUNIANI, TFS SAFI!

WAZIRI mkuu mstaafu Mizengo Pinda ameupongeza Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania – TFS kwa kazi kubwa inayofanya kuhamasisha ufugaji wa nyuki na na kuwawezesha wananchi ili waweze kujiongezea uchumi…

Soma Zaidi

SERIKALI YAZINDUA KAMPENI YA UTUNDIKAJI WA MIZINGA KATAVI

Katika kuazimisha Siku ya Nyuki Duniani Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania - TFS imezindua kampeni ya utundikaji wa mizinga ya nyuki katika Msitu wa…

Soma Zaidi

FILAMU YA THE ROYAL TOUR HAINA MAANA TUKISHINDWA KULINDA VIVUTIO VYA UTALII - NKM MALIASILI

KATAVI: Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Suleiman Mkomi amewataka Maafisa na Askari wa Uhifadhi waliohitimu mafunzo ya kijeshi kuhakikisha wanalinda vivutio vya utalii vilivyopo…

Soma Zaidi

SHIGELA: TFS KINARA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania – TFS imepongezwa kwa jitihada kubwa inayofanya katika kuhakikisha kuna usimamizi endelevu wa rasilimali za kitaifa za misitu na nyuki ili kuchangia mahitaji ya kijamii,…

Soma Zaidi

MATUNDA YA ROYAL TOUR; TANZANIA KUANZA KUUZA HEWA UKAA

Dar es Salaam. Ikiwa ni siku chache baada ya filamu ya Tanzania "The Royal Tour” kuzinduliwa, wadau mbalimbali duniani wamejitokeza kuja kutathimini misitu nchini kwa ajili ya biashara ya hewa…

Soma Zaidi

ROYAL TOUR KUCHOCHEA UTALII WA MAZINGIRA NCHINI

Arusha. Kamishna wa Uhifadhi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania – TFS Prof. Dos Santos Silayo amesema kuzinduliwa kwa Royal Tour kutachochea uwekezaji katika misitu na ukuwaji wa utalii wa mzingira…

Soma Zaidi

Serikali kupata shilingi Bilioni 1.7 kwa kuuza magogo ya Mkurungu

Dar es Salaam. Serikali kupitia Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania – TFS inatarajia kuingiza takriban shilingi bilioni 1.7 kufuatia mauzo ya magogo ya Mkurungu (Pterocarpus Tinctorius) kwa njia ya mnada wa…

Soma Zaidi

Magogo ya Mkurungu kupigwa mnada Aprili 6, 2022

Magogo ya Mkurungu kupigwa mnada Aprili 6, 2022 Dar es Salaam. Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) itapiga mnada magogo ya Mkurungu kwa njia ya kielectronic (mtandao) leo Aprili 6, 2022 kuanzia saa sita na…

Soma Zaidi