News and Events

TFS Yaendelea Kung’ara Katika Mapato Yasiyo ya Kodi

— Yakabidhi Sh29.82 Bilioni kwa Rais Samia*; — Mchechu asifu ubunifu na nidhamu ya taasisi; Silayo aeleza mikakati mipya ya mapato endelevuWakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umeendelea kujiimarisha kama taasisi kinara katika…

TFS YATAKA MAGEUZI YA MATUMIZI YA NISHATI KUOKOA MISITU

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umetumia maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani kutoa wito kwa wananchi kuachana na matumizi ya kuni na mkaa, na badala yake kuhamia kwenye nishati safi ya kupikia ili kulinda misitu na mazingira kwa…