Tanzania Yazindua Mkakati wa Taifa wa Usimamizi na Uendelevu wa Mikoko; Waziri Chana Ataka Matokeo Chanya
Dar es Salaam. Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imezindua Mkakati wa Taifa wa Usimamizi na Uendelezaji wa Mikoko 2025–2035, ikiwa ni hatua madhubuti ya kulinda, kurejesha na kutumia kwa tija rasilimali hiyo muhimu ya mazingira,…