Kustaafu Utumishi wa Umma ni Kitendo cha Kishujaa — CP Wakulyamba
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ambaye pia ni Kamishna wa Polisi, Benedict Wakulyamba, amesema kustaafu utumishi wa umma ni kitendo cha kishujaa na cha kupongezwa.Kamishna Wakulyamba alitoa kauli hiyo tarehe 4 Julai 2025, wakati…