SHAMBA LA MITI MERU-USA LAVUTIA UWEKEZAJI, LAVUNJA REKODI YA MAPATO NA IDADI YA WATALII
Shamba la Miti la Meru-Usa, linalosimamiwa na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), limeibuka kuwa mfano wa mafanikio katika uwekezaji na utendaji baada ya kuvuka malengo ya uzalishaji, mapato, na idadi ya watalii kwa mwaka wa fedha…