Onesho la S!TE lahitimishwa kwa Mafanikio, Uhifadhi wa Misitu Wahimizwa
Onesho la Swahili International Tourism Expo (S!TE) mwaka 2024 limehitimishwa rasmi leo jijini Dar es Salaam, likiteka hisia za wengi kwa mafanikio makubwa ya kuingiza takribani wanunuzi 120 wa kimataifa wa bidhaa za utalii.Katika hafla ya kufunga…