News and Events

Mambo saba yaliyoibeba TFS kuchangia Sh. bilioni 29.8

Yaja na vipaumbele vitano kusalia kileleniMIONGONI mwa habari kubwa zinazogusa maisha ya Watanzania wengi wiki hii, ni uwasilishaji wa mapato katika mfuko mkuu wa serikali, uliofanywa na mashirika ya serikali na taasisi zinazotengeneza faida na zile…

TFS Yaendelea Kung’ara Katika Mapato Yasiyo ya Kodi

— Yakabidhi Sh29.82 Bilioni kwa Rais Samia*; — Mchechu asifu ubunifu na nidhamu ya taasisi; Silayo aeleza mikakati mipya ya mapato endelevuWakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umeendelea kujiimarisha kama taasisi kinara katika…