Kamishna wa Uhifadhi wa TFS Anahudhuria Ufunguzi wa Kikao Kazi cha Tano cha Serikali Mtandao Arusha
Arusha, 11 Februari 2025 – Kamishna wa Uhifadhi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Prof. Dos Santos Silayo (wa katikati kwenye picha ya kwanza) ahudhuria ufunguzi wa Kikao Kazi cha Tano cha Serikali Mtandao kilichofanyika katika Ukumbi…