TFS YAZINDUA BODI YA TANO YA USHAURI Waziri Kijaji atoa dira ya “Kazi na Utu”, ataka mageuzi ya uhifadhi, nyuki na utalii wa misitu
Dodoma, Februari 13, 2026 – Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania – TFS umeandika ukurasa mpya katika historia ya usimamizi wa rasilimali za misitu na nyuki baada ya kuzindua rasmi Bodi yake ya Tano ya Ushauri katika hafla iliyofanyika Ukumbi wa…