BELEKO: TUKISHINDWA KUPANGA, TUNAPANGA KUSHINDWA
Naibu Kamishna wa Uhifadhi anayeshughulikia Masoko na Matumizi Endelevu ya Rasilimali za Misitu wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Salehe Beleko, amewataka viongozi na makamanda wa vituo vya wakala huo kuimarisha nidhamu ya mipango, uwazi…