Serikali Yaendelea Kuweka Mazingira Wezeshi kwa Uwekezaji wa Sekta ya Misitu
Njombe, 21 Machi 2025 – Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii, inaendelea kuchukua hatua madhubuti katika kuhakikisha sekta ya misitu inachangia kikamilifu maendeleo ya taifa kwa kuongeza thamani ya…