TFS Yaandika Historia kwa Kushiriki Maonesho ya Kilimo Zanzibar kwa Mara ya Kwanza, Yapokelewa kwa Kishindo
Na Mwandishi Wetu, Dole Kizimbani, ZanzibarWAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umeandika historia kwa kushiriki kwa mara ya kwanza Maonesho ya Kilimo Zanzibar, hatua iliyopokelewa kwa pongezi na viongozi pamoja na wananchi kutokana na kupeleka…