Dodoma, Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) imeipongeza Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kwa mafanikio yake katika kutekeleza majukumu yake.Pongezi hizo zilitolewa na Mwenyekiti wa kamati, Mhe. Augustine…
Onesho la Swahili International Tourism Expo (S!TE) mwaka 2024 limehitimishwa rasmi leo jijini Dar es Salaam, likiteka hisia za wengi kwa mafanikio makubwa ya kuingiza takribani wanunuzi 120 wa kimataifa wa bidhaa za utalii.Katika hafla ya kufunga…
Dar es Salaam, Oktoba 11, 2024 – Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) leo imekuwa kivutio kikubwa katika Maonesho ya Nane ya Kimataifa ya Swahili International Tourism Expo (SITE), yaliyofunguliwa rasmi na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa…
Nkoba: TFS mmepiga hatua kubwa katika uhifadhi wa misitu, ukuzaji utalii TanzaniaNaibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii anayeshughulikia Utalii, Nkoba Mabula, amepongeza mchango mkubwa wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) katika…
Wilaya ya Lushoto mkoani Tanga leo Septemba 22, 2024 imeandika historia mpya kwa kuzindua rasmi tamasha lake la kwanza la Utalii linalolenga kuunga mkono juhudi za Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kukuza sekta ya utalii nchini.Akizungumza…