News and Events

TFS Kuuza Miti ya Misaji Kwa Mnada wa Kielektroniki Julai

Dodoma. Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umetangaza kufanya mauzo ya miti aina ya misaji yenye jumla ya meta za ujazo 6,480.31 kwa njia ya mnada wa kielektroniki, hatua inayolenga kuongeza uwazi na ufanisi katika biashara ya mazao ya misitu…

Mambo saba yaliyoibeba TFS kuchangia Sh. bilioni 29.8

Yaja na vipaumbele vitano kusalia kileleniMIONGONI mwa habari kubwa zinazogusa maisha ya Watanzania wengi wiki hii, ni uwasilishaji wa mapato katika mfuko mkuu wa serikali, uliofanywa na mashirika ya serikali na taasisi zinazotengeneza faida na zile…