WIZARA YA MALIASILI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA JESHI LA POLISI KATIKA KUSHUGHULIKIA UPELELEZI UHALIFU
Wizara ya Maliasili na Utalii imesema itaendelea kushirikiana na Jeshi la Polisi kupitia ofisi za upelelezi za mikoa na wilaya katika kushughulikia masuala yote yanayohusu uhalifu wa wanyampori na mazao ya Misitu.…
Soma Zaidi