Mnada wa uuzaji wa Miti ya Misaji, Korogwe na Longuza

 Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) unatarajia kuuza miti aina ya misaji yenye jumla ya meta za ujazo 8,113.177 iliyopo katika shamba ya miti Mtibwa mkoani Morogoro na Longuza mkoani Tanga. Jumla ya…

Soma Zaidi

Mnada wa Miti ya Misaji

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) unatarajia kuuza miti aina ya Misaji yenye jumla ya meta za ujazo 9,452.74 iliyopo mashamba ya miti ya Mtibwa na Longuza mkoani Morogoro na Tanga mtawalia. Jumla ya meta…

Soma Zaidi

UUZAJI WA MITI YA MISAJI NA KWA NJIA YA MNADA /THE SALE OF STANDING TEAK TREES BY AUCTION

1.    Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) unatarajia kuuza miti aina ya Misaji yenye jumla ya meta za ujazo 10,733.56 iliyopo mashamba ya miti ya Mtibwa na Longuza mkoani Morogoro…

Soma Zaidi

MNADA WA KUUZA MITI YA MISINDANO KATIKA SHAMBA LA MITI LA SAO HILL

MNADA WA KUUZA MITI YA MISINDANO (Pinus Spp) KATIKA VITALU VILIYOATHIRIWA NA MOTO KATIKA SHAMBA LA MITI LA SAO HILL- TARAFA YA KWANZA WILAYANI MUFINDI     TAREHE YA MNADA      …

Soma Zaidi