UUZAJI WA MITI YA MISAJI KWENYE MISITU YA HIFADHI YA KWANI NA TONGWE-MUHEZA NA HIFADHI YA NILO

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS)-Kanda ya Kaskazini unatarajia kuuza miti aina ya Misaji  (tectona grandis (teak) yenye jumla ya meta za ujazo 1,600.883  iliyopo katika mipaka ya Misitu ya Hifadhi…

Soma Zaidi
PICHANI NI MAGOGO YA MTI AINA YA MISAJI HAYANA UHUSIANO NA MAGOGO YANAYOKWENDA KUUZWA

Uuzaji wa miti ya misaji kwa njia ya mnada katika shamba la miti Mtibwa na Longuza

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) utauza miti aina ya misaji yenye jumla ya meta za ujazo 6,755.935 iliyopo katika mashamba ya miti Mtibwa Mkoani Morogoro na Longuza Mkoani Tanga. Jumla ya meta za ujazo…

Soma Zaidi

Uuzaji wa miti ya misaji kwa njia ya mnada katika shamba la miti Mtibwa na Longuza

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) utauza miti aina ya misaji yenye jumla ya meta za ujazo 6,755.935 iliyopo katika mashamba ya miti Mtibwa Mkoani Morogoro na Longuza Mkoani Tanga. Jumla ya meta za ujazo…

Soma Zaidi

Mnada wa uuzaji wa Miti ya Misaji, Korogwe na Longuza

 Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) unatarajia kuuza miti aina ya misaji yenye jumla ya meta za ujazo 8,113.177 iliyopo katika shamba ya miti Mtibwa mkoani Morogoro na Longuza mkoani Tanga. Jumla ya…

Soma Zaidi

Mnada wa Miti ya Misaji

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) unatarajia kuuza miti aina ya Misaji yenye jumla ya meta za ujazo 9,452.74 iliyopo mashamba ya miti ya Mtibwa na Longuza mkoani Morogoro na Tanga mtawalia. Jumla ya meta…

Soma Zaidi