Zabuni na Nafasi za Kazi

Tangazo la Mnada wa Miti laini na Migumu 20 Juni,2023

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) unatarajia kuuza  miti laini na migumu katika mashamba 11 ya miti ya kupanda yanayomilikiwa na Serikali kwa msimu wa uvunaji wa mwaka wa fedha 2023/2024. Tathmini iliyofanyika…

Soma Zaidi

UUZAJI WA MITI YA MISAJI KWA NJIA YA MNADA WA KIELEKTRONIKI

UUZAJI WA MITI YA MISAJI KWA NJIA YA MNADA WA KIELEKTRONIKI Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) utauza miti aina ya misaji yenye jumla ya  meta za ujazo 13,235.27 iliyopo…

Soma Zaidi

UUZAJI WA MITI YA MISAJI KWA NJIA YA MNADA WA KIELEKTRONIKI

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) utauza miti aina ya misaji yenye jumla ya  meta za ujazo 10,437.616 iliyopo katika Shamba la miti Mtibwa, Turiani Mkoani Morogoro    na Shamba la miti…

Soma Zaidi

SALES OF STANDING TEAK TREES BY ELECTRONIC AUCTION

The Tanzania Forest Service (TFS) Agency will sell standing trees with 10,437.616 m3 located at Mtibwa Forest Plantation, Turiani in Morogoro Region, and Longuza Forest Plantation, Muheza in Tanga Region. 4,385.087…

Soma Zaidi

TANGAZO LA MNADA WA MKURUNGU MKOANI TABORA 20 SEPTEMBA, 2021

UUZAJI WA MAGOGO YA MTI AINA YA MKURUNGU KWA NJIA YA MNADA KATIKA KIJIJI CHA WACHAWASEME (IGAGALA No 9) NA KIJIJI CHA MPWAGA (IGAGALA No3) WILAYANI KALIUA MKOA WA TABORA  Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania…

Soma Zaidi

UUZAJI WA MITI YA MISAJI KWENYE MISITU YA HIFADHI YA KWANI NA TONGWE-MUHEZA NA HIFADHI YA NILO

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS)-Kanda ya Kaskazini unatarajia kuuza miti aina ya Misaji  (tectona grandis (teak) yenye jumla ya meta za ujazo 1,600.883  iliyopo katika mipaka ya Misitu ya Hifadhi…

Soma Zaidi