MATUNDA YA ROYAL TOUR; TANZANIA KUANZA KUUZA HEWA UKAA

Dar es Salaam. Ikiwa ni siku chache baada ya filamu ya Tanzania "The Royal Tour” kuzinduliwa, wadau mbalimbali duniani wamejitokeza kuja kutathimini misitu nchini kwa ajili ya biashara ya hewa…

Soma Zaidi

ROYAL TOUR KUCHOCHEA UTALII WA MAZINGIRA NCHINI

Arusha. Kamishna wa Uhifadhi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania – TFS Prof. Dos Santos Silayo amesema kuzinduliwa kwa Royal Tour kutachochea uwekezaji katika misitu na ukuwaji wa utalii wa mzingira…

Soma Zaidi

Serikali kupata shilingi Bilioni 1.7 kwa kuuza magogo ya Mkurungu

Dar es Salaam. Serikali kupitia Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania – TFS inatarajia kuingiza takriban shilingi bilioni 1.7 kufuatia mauzo ya magogo ya Mkurungu (Pterocarpus Tinctorius) kwa njia ya mnada wa…

Soma Zaidi

Magogo ya Mkurungu kupigwa mnada Aprili 6, 2022

Magogo ya Mkurungu kupigwa mnada Aprili 6, 2022 Dar es Salaam. Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) itapiga mnada magogo ya Mkurungu kwa njia ya kielectronic (mtandao) leo Aprili 6, 2022 kuanzia saa sita na…

Soma Zaidi

WIZARA YA MALIASILI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA JESHI LA POLISI KATIKA KUSHUGHULIKIA UPELELEZI UHALIFU

Wizara ya Maliasili na Utalii imesema itaendelea kushirikiana na Jeshi la Polisi kupitia ofisi za upelelezi za mikoa na wilaya katika kushughulikia masuala yote yanayohusu uhalifu wa wanyampori na mazao ya Misitu.…

Soma Zaidi

KATIBU MKUU MALIASILI NA UTALII AHIMIZA WATUMISHI TFS KUWA NA SIKU MAALUMU YA KUKUTANA NJE YA KAZI.

Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na utalii Dkt Francis Michael akiwa katika ziara ya kikazi Ofisi ya TFS Makao Makuu Mpingo house jijini Dar es salaam tarehe 29/03/2022, amemhimiza Kamishna wa Uhifadhi TFS Profesa…

Soma Zaidi

Kamati ya Bunge yatoa neno katazo la kusafirisha viumbe hai nje

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC) imejia juu katazo la kusafirisha viumbe hai nje ya nchi jambo ambalo limewaathiri wafugaji wa vipepeo katika milima ya Amani wilayani Muheza mkoani…

Soma Zaidi

USAFIRISHAJI WA VIUMBE HAI NJE YA NCHI WAWAATHIRI WAFUGAJI MILIMA YA AMANI MUHEZA.

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji  ya Umma (PIC), imejia juu katazo la kusafirisha viumbe hai nje ya nchi jambo ambalo  limewaathiri wafugaji wa vipepeo katika milima ya Amani wilayani Muheza…

Soma Zaidi