Kamishna wa Uhifadhi TFS Prof. Dos Santos Silayo (aliyesimama) akimueleza jinsi walivyojipanga kulinda rasilimali misitu nchini Mwenyekiti wa Bodi ya Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Brigedia Jenerali Mbaraka Mkeremy  (aliyekaa)

WAHIFADHI 47 WAHITIMU MAFUNZO YA UONGOZI WA KIJESHI JIJINI ARUSHA

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Brigedia Jenerali Mbaraka Naziad Mkeremy amewataka wahitimu 47 wa mafunzo ya uongozi wa kijeshi kwa viongozi wa TFS kuhakikisha wanafanya kazi kwa…

Soma Zaidi

UUZAJI WA MITI YA MISAJI KWA NJIA YA MNADA WA KIELEKTRONIKI

UUZAJI WA MITI YA MISAJI KWA NJIA YA MNADA WA KIELEKTRONIKI Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) utauza miti aina ya misaji yenye jumla ya  meta za ujazo 13,235.27 iliyopo…

Soma Zaidi

UUZAJI WA MITI YA MISAJI KWA NJIA YA MNADA WA KIELEKTRONIKI

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) utauza miti aina ya misaji yenye jumla ya  meta za ujazo 10,437.616 iliyopo katika Shamba la miti Mtibwa, Turiani Mkoani Morogoro    na Shamba la miti…

Soma Zaidi

SALES OF STANDING TEAK TREES BY ELECTRONIC AUCTION

The Tanzania Forest Service (TFS) Agency will sell standing trees with 10,437.616 m3 located at Mtibwa Forest Plantation, Turiani in Morogoro Region, and Longuza Forest Plantation, Muheza in Tanga Region. 4,385.087…

Soma Zaidi

WAZIRI MALIASILI AHIMIZA UHIFADHI WA MISITU NCHINI

Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (pichani juu) akizungumza na vyombo vya Habari mara baada ya kumaliza kuzunguka na kujionea huduma zinazotolewa na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania…

Soma Zaidi
WAZIRI wa Maliasili na Utalii MHE. Balozi Dk. Pindi Chana (wa pili kulia) NA mkuu wa wilaya ya Ludewa Mhe. Andrea Tsere (Wa kwanza kulia) Wakimkabidhi mzinga WA NYUKI Mkuu wa Gereza LA  Ludewa, Mrakibu wa Magereza Johaness Baitange (wa kwanza kushoto).

WAZIRI MALIASILI AKABIDHI MIZINGA YA NYUKI 300 KWA WADAU LUDEWA

Ikiwa ni siku chache tangu Jeshi la Magereza nchini kutangaza mpango wa kuanza kuwalipa wafungwa ili wakitoka gerezani waweze kujikimu kiuchumi. Waziri wa Maliasili na Utalii nchini Mhe. Balozi Dkt Pindi Chana…

Soma Zaidi

Kamishna wa Uhifadhi TFS atoa wito kwa wataalamu wa sekta ya misitu Barani Afrika

Dar es Salaam; Kamishna wa Uhifadhi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania – TFS Prof. Dos Santos Silayo ametoa wito kwa wataalamu wa sekta ya misitu Barani Afrika kufanya tafiti na kuzichapisha kwenye machapisho…

Soma Zaidi