TFS KUJA NA MUONGOZO WA KUONGEZA THAMANI YA MAZAO YA NYUKI

Dar es Salaam: Katika kuhakikisha mazao ya nyuki yanayozalishwa nchini yanaendelea kuwa na viwango vya ubora vinavyohitajika katika masoko ya kimataifa, Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Wakala wa Huduma za…

Soma Zaidi

TFS YAPEWA TUZO YA MAZINGIRA 2023

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania – TFS umepewa tuzo rasmi ya taasisi bora ya Serikali katika kuhakikisha zoezi la upandaji miti na utunzaji mazingira linakuwa endelevu mwaka 2023. Tulizo Kilaga anaripoti.…

Soma Zaidi

Tangazo la Mnada wa Miti ya Misaji Kielektroniki

Tangazo la mnada wa hadhara wa uuzaji wa miti ya misaji kwa njia ya kielektroniki

Soma Zaidi

BODI YA USHAURI TFS YATEMBELEA HIFADHI YA MAZINGIRA ASILIA AMANI

BODI ya Ushauri ya Wizara kwa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) wametembelea Hifadhi ya Mazingira Asilia Amani iliyopo Muheza mkoani Tanga lengo likiwa ni kukagua uboreshaji wa miundombinu na huduma…

Soma Zaidi

PROF. SILAYO AWATAKA WALIOVAMIA MISITU HANDENI, KILINDI TANGA KUONDOA

SERIKALI imetaka wananchi wote waliovamia hifadhi za misitu wilayani Handeni na Kilindi mkoani Tanga kuondoka mara moja na kutangaza kuwachukulia hatua kali za kisheria wale wote watakaokahidi agizo hilo huku ikieleza…

Soma Zaidi

TFS, Blue Carbon zasaini Hati ya Makubaliano ya Biashara ya Hewa Ukaa

Kampuni ya Blue Carbon chini ya uwenyekiti wa mwanamfame Sheikh Ahmed Dalmook Juma Al Maktoum wa Falme za Kiarabu UAE imetia saini hati ya makubaliano na Serikali ya Tanzania kupitia Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania…

Soma Zaidi
Kamishna wa Uhifadhi TFS Prof. Dos Santos Silayo (aliyesimama) akimueleza jinsi walivyojipanga kulinda rasilimali misitu nchini Mwenyekiti wa Bodi ya Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Brigedia Jenerali Mbaraka Mkeremy  (aliyekaa)

WAHIFADHI 47 WAHITIMU MAFUNZO YA UONGOZI WA KIJESHI JIJINI ARUSHA

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Brigedia Jenerali Mbaraka Naziad Mkeremy amewataka wahitimu 47 wa mafunzo ya uongozi wa kijeshi kwa viongozi wa TFS kuhakikisha wanafanya kazi kwa…

Soma Zaidi