Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) utauza magogo vipande 18,489 ya mti wa Mkurungu (Pterocarpus Tinctorius) yenye jumla ya meta za ujazo 1,357.026 iliyopo katika eneo la Bandari ya Nchi Kavu – Ubungo,Dar es Salaam.
Magogo hayo ya Mkurungu yamepimwa ujazo uliopo katika makasha 59 na yatauzwa kwa njia ya mnada…