Downloads

UUZAJI WA MAGOGO YA MTI WA MKURUNGU KWA NJIA YA MNADA KATIKA ENEO LA BANDARI YA NCHI KAVU – UBUNGO,

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) utauza magogo vipande 18,489 ya mti wa Mkurungu (Pterocarpus Tinctorius) yenye jumla ya meta za ujazo 1,357.026 iliyopo katika eneo la Bandari ya Nchi Kavu –…

Read More

FOMU YA MAOMBI YA UVUNAJI MITI KIBIASHARA

Fomu ya maombi imendaliwa kwa kuzingatia Kanuni Namba 3 ya Kanuni za Misitu, 2004; Tangazo la Serikali Na. 69 la tarehe 9/06/2006; Tangazo la Serikali Na. 255 la tarehe 28/07/2017 na Tangazo la Serikali Na. 173…

Read More

UUZAJI WA MITI YA MISAJI KWENYE MISITU YA HIFADHI YA KWANI NA TONGWE-MUHEZA NA HIFADHI YA NILO

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS)-Kanda ya Kaskazini unatarajia kuuza miti aina ya Misaji  (tectona grandis (teak) yenye jumla ya meta za ujazo 1,600.883  iliyopo katika mipaka ya Misitu ya Hifadhi…

Read More
PICHANI NI MAGOGO YA MTI AINA YA MISAJI HAYANA UHUSIANO NA MAGOGO YANAYOKWENDA KUUZWA

Uuzaji wa miti ya misaji kwa njia ya mnada katika shamba la miti Mtibwa na Longuza

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) utauza miti aina ya misaji yenye jumla ya meta za ujazo 6,755.935 iliyopo katika mashamba ya miti Mtibwa Mkoani Morogoro na Longuza Mkoani Tanga. Jumla ya meta za ujazo…

Read More

Uuzaji wa miti ya misaji kwa njia ya mnada katika shamba la miti Mtibwa na Longuza

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) utauza miti aina ya misaji yenye jumla ya meta za ujazo 6,755.935 iliyopo katika mashamba ya miti Mtibwa Mkoani Morogoro na Longuza Mkoani Tanga. Jumla ya meta za ujazo…

Read More