Downloads

PICHANI NI MAGOGO YA MTI AINA YA MISAJI HAYANA UHUSIANO NA MAGOGO YANAYOKWENDA KUUZWA

Uuzaji wa miti ya misaji kwa njia ya mnada katika shamba la miti Mtibwa na Longuza

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) utauza miti aina ya misaji yenye jumla ya meta za ujazo 6,755.935 iliyopo katika mashamba ya miti Mtibwa Mkoani Morogoro na Longuza Mkoani Tanga. Jumla ya meta za ujazo…

Read More

Uuzaji wa miti ya misaji kwa njia ya mnada katika shamba la miti Mtibwa na Longuza

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) utauza miti aina ya misaji yenye jumla ya meta za ujazo 6,755.935 iliyopo katika mashamba ya miti Mtibwa Mkoani Morogoro na Longuza Mkoani Tanga. Jumla ya meta za ujazo…

Read More

Mnada wa uuzaji wa Miti ya Misaji, Korogwe na Longuza

 Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) unatarajia kuuza miti aina ya misaji yenye jumla ya meta za ujazo 8,113.177 iliyopo katika shamba ya miti Mtibwa mkoani Morogoro na Longuza mkoani Tanga. Jumla ya…

Read More

Mnada wa Miti ya Misaji

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) unatarajia kuuza miti aina ya Misaji yenye jumla ya meta za ujazo 9,452.74 iliyopo mashamba ya miti ya Mtibwa na Longuza mkoani Morogoro na Tanga mtawalia. Jumla ya meta…

Read More